Demmy Harmony Foundation Yafanya Usafi wa Mazingira Fukwe ya Magha Mbezi Beach B

Dar es Salaam — Katika kuunga mkono jitihada za utunzaji wa mazingira nchini, Timu ya Demmy Harmony Foundation imeshiriki katika zoezi kubwa la usafi wa mazingira katika fukwe ya Magha Mbezi Beach B, Dar es Salaam. Lengo kuu la zoezi hili lilikuwa ni kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kutunza mazingira ya bahari, kuondoa taka zote […]

DHF Yaendesha Mafunzo ya Hedhi Salama na Kugawa Pads Kinondoni

Taasisi ya Demmy Harmony Foundation (DHF) Februari 27, 2026 imeendesha zoezi la utoaji wa elimu kuhusu hedhi salama kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Msingi Erastus – Bunju B, iliyopo Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mbali na elimu hiyo, pia imegawa taulo za kike (pads) kwa wanafunzi ili kuwasaidia kujisitiri na kuendelea […]