DHF Yaendesha Mafunzo ya Hedhi Salama na Kugawa Pads Kinondoni
Taasisi ya Demmy Harmony Foundation (DHF) Februari 27, 2026 imeendesha zoezi la utoaji wa elimu kuhusu hedhi salama kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Msingi Erastus – Bunju B, iliyopo Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mbali na elimu hiyo, pia imegawa taulo za kike (pads) kwa wanafunzi ili kuwasaidia kujisitiri na kuendelea […]
DHF Yatoa Elimu ya Hedhi Salama na Kugawa Taulo za Kike Singida
Demmy Harmony Foundation (DHF) imeendesha zoezi la utoaji wa elimu kuhusu hedhi salama pamoja na ugawaji wa taulo za kike (pads) kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Katala iliyopo Old- Kiomboi Wilaya ya Iramba mkoani Singida.