Demmy Harmony Foundation (DHF) imeendesha zoezi la utoaji wa elimu kuhusu hedhi salama pamoja na ugawaji wa taulo za kike (pads) kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Katala iliyopo Old- Kiomboi Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *