Demmy Harmony Foundation (DHF) imeendesha zoezi la utoaji wa elimu kuhusu hedhi salama pamoja na ugawaji wa taulo za kike (pads) kwa wanafunzi wa kike katika Shule ya Sekondari Katala iliyopo Old- Kiomboi Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Demmy Harmony Foundation
P.O Box 14190,
Office 108 C&G Plaza 672/2
Mikocheni B, Mwai Kibaki Road,
Dar es Salaam – Tanzania.