Call us for enquiry

+255 787 531 938

Mail us for enquiry

info@demmyfoundation.org

DHF yawafikia waalimu Dar es Salaam – Bunju ‘B’

Tabasamu na Mwalimu limewafikia walimu wanaojitolea katika shule ya Msingi Erastus iliyopo Bunju B, Dar es Salaam ambapo mwakilishi wa Demmy Harmony Foundation, Monica Karoli amezungumza na walimu hao na kuwaeleza kuhusu malengo ya taasisi hiyo na namna itakavyowanufaisha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More Articles & Posts